11 Ndipo Musa akamwambia Yehova: “Kwa nini umemsababishia mtumishi wako uovu, na kwa nini sijapata kibali machoni pako, kwa kuuweka mzigo wa watu wote hawa juu yangu?+
6 Naye Daudi akataabika sana,+ kwa sababu watu walisema apigwe kwa mawe;+ kwa maana nafsi za watu wote zilikuwa zimeingiwa na uchungu;+ kila mmoja kwa sababu ya wanawe na binti zake. Basi Daudi akajitia nguvu kwa Yehova Mungu wake.+