12 Naye akajibu: “Kwa sababu nitakuwa pamoja nawe,+ nayo hii ndiyo ishara kwako ya kwamba mimi ndiye niliyekutuma:+ Baada ya kuwatoa watu hao Misri, ninyi mtamtumikia Mungu wa kweli kwenye mlima huu.”+
5Na baadaye Musa na Haruni wakaingia ndani na kumwambia Farao:+ “Hivi ndivyo Yehova Mungu wa Israeli amesema, ‘Waruhusu watu wangu waende zao, wakanifanyie sherehe nyikani.’”+