Mambo ya Walawi 13:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “Na kuhusu nyama, ikiwa jipu+ litatokea katika ngozi yake nalo lipone, Kumbukumbu la Torati 28:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 “Yehova atakupiga kwa jipu hatari kwenye magoti yote mawili na miguu yote miwili, ambalo hutaweza kupona, kutoka wayo wa mguu wako mpaka utosi wa kichwa chako.+ Ayubu 2:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa hiyo Shetani akaondoka mbele za uso wa Yehova,+ akampiga Ayubu kwa majipu+ hatari kuanzia wayo wa mguu wake mpaka kwenye utosi wa kichwa chake.
35 “Yehova atakupiga kwa jipu hatari kwenye magoti yote mawili na miguu yote miwili, ambalo hutaweza kupona, kutoka wayo wa mguu wako mpaka utosi wa kichwa chako.+
7 Kwa hiyo Shetani akaondoka mbele za uso wa Yehova,+ akampiga Ayubu kwa majipu+ hatari kuanzia wayo wa mguu wake mpaka kwenye utosi wa kichwa chake.