Kumbukumbu la Torati 28:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 “Yehova atakupiga kwa jipu la Misri+ na bawasiri na ukurutu na upele wa ngozi, nawe hutaweza kupona magonjwa hayo. 2 Wafalme 20:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Na Isaya akaendelea kusema: “Chukueni keki ya tini kavu zilizoshinikizwa.”+ Basi wakaichukua na kuitia juu ya lile jipu,+ kisha akapona+ hatua kwa hatua. Ayubu 2:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa hiyo Shetani akaondoka mbele za uso wa Yehova,+ akampiga Ayubu kwa majipu+ hatari kuanzia wayo wa mguu wake mpaka kwenye utosi wa kichwa chake.
27 “Yehova atakupiga kwa jipu la Misri+ na bawasiri na ukurutu na upele wa ngozi, nawe hutaweza kupona magonjwa hayo.
7 Na Isaya akaendelea kusema: “Chukueni keki ya tini kavu zilizoshinikizwa.”+ Basi wakaichukua na kuitia juu ya lile jipu,+ kisha akapona+ hatua kwa hatua.
7 Kwa hiyo Shetani akaondoka mbele za uso wa Yehova,+ akampiga Ayubu kwa majipu+ hatari kuanzia wayo wa mguu wake mpaka kwenye utosi wa kichwa chake.