25 Anapokuwa ameufanya udongo wake kuwa laini, je, hatawanyi bizari nyeusi na kuinyunyiza bizari,+ na je, hatii ndani ngano, mtama,+ na shayiri mahali palipochaguliwa,+ na kusemethi+ kuwa mpaka wake?+
9 “Na wewe, jichukulie ngano+ na shayiri na maharagwe mapana+ na dengu+ na mtama na kusemethi,+ nawe utavitia katika chombo kimoja na kuvifanya kuwa mkate kwa ajili yako, kwa hesabu ya siku unazolalia upande wako; siku 390 utaula.+