10 Pia, usikusanye masalio+ ya shamba lako la mizabibu, wala usiokote zabibu zilizotawanyika za shamba lako la mizabibu. Ziache kwa ajili ya mwenye kuteseka na mkaaji mgeni.+ Mimi ni Yehova Mungu wenu.
22 “‘Na wakati mnapovuna mavuno ya nchi yenu, hutamaliza kabisa ukingo wa shamba lako unapovuna, na masalio ya mavuno yako hutaokota.+ Utayaacha kwa ajili ya watu wenye kuteseka+ na mkaaji mgeni.+ Mimi ni Yehova Mungu wenu.’”