Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 18:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Je, jambo lolote ni kubwa mno isivyo kawaida kwa Yehova?+ Kwa wakati uliowekwa nitarudi kwako, mwaka ujao wakati huu, na Sara atapata mwana.”

  • Danieli 3:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Na maliwali, manaibu wa maliwali, magavana na maofisa wakuu+ wa mfalme waliokuwa wamekusanyika wakawaona hao wanaume, kwamba ule moto haukuwa na nguvu juu ya miili yao,+ wala unywele wowote wa vichwa vyao haukuwa umeungua,+ wala hata nguo zao za kujitanda hazikuwa zimebadilishwa, wala harufu ya moto haikuwapata.

  • Matendo 7:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Sasa Musa alipouona akastaajabia maono hayo.+ Lakini alipokuwa akikaribia ili kuchunguza, sauti ya Yehova ikaja,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki