Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 15:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Baadaye Musa akaondoa Israeli kutoka katika Bahari Nyekundu nao wakaenda katika nyika ya Shuri+ na kupiga mwendo kwa siku tatu nyikani, lakini hawakupata maji.+

  • Kutoka 16:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na wana wa Israeli wakawa wakiwaambia: “Laiti tungekufa+ kwa mkono wa Yehova katika nchi ya Misri tulipokuwa tukiketi kando ya vyungu vya nyama,+ tulipokuwa tukila mkate na kushiba, kwa sababu ninyi mmetutoa na kutuleta nyikani ili kuliua kutaniko lote kwa njaa.”+

  • Hesabu 20:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Basi Musa akatuma wajumbe kutoka Kadeshi mpaka kwa mfalme wa Edomu:+ “Hivi ndivyo ndugu yako Israeli+ amesema, ‘Wewe mwenyewe unajua vema magumu yote ambayo yametupata.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki