Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 81:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Katika taabu uliita, nami nikakuokoa;+

      Nikaanza kukujibu katika mahali palipofichika pa mngurumo.+

      Nikakuchunguza kando ya maji ya Meriba.+ Sela.

  • Zaburi 102:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Usinifiche uso wako siku nitakayokuwa katika dhiki kali.+

      Utege sikio lako kwangu;+

      Siku nitakayoita, ufanye haraka, unijibu.+

  • Danieli 3:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Nami natoa agizo,+ kwamba kikundi chochote cha watu, cha taifa au lugha ambacho kinasema jambo lolote baya juu ya Mungu wa Shadraki, Meshaki na Abednego, kikatwe vipande-vipande,+ na nyumba zao zigeuzwe kuwa choo cha watu wote;+ kwa maana hakuna mungu mwingine yeyote anayeweza kuokoa kama huyu.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki