-
Danieli 3:29Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
29 Nami natoa agizo,+ kwamba kikundi chochote cha watu, cha taifa au lugha ambacho kinasema jambo lolote baya juu ya Mungu wa Shadraki, Meshaki na Abednego, kikatwe vipande-vipande,+ na nyumba zao zigeuzwe kuwa choo cha watu wote;+ kwa maana hakuna mungu mwingine yeyote anayeweza kuokoa kama huyu.”+
-