Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 2:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Na ikawa kwamba wakati wa siku hizo nyingi, mwishowe mfalme wa Misri akafa,+ lakini wana wa Israeli wakaendelea kuugua kwa sababu ya utumwa na kulia kwa kulalamika,+ nacho kilio chao cha kuomba msaada kikaendelea kupaa juu kwa Mungu wa kweli kwa sababu ya utumwa huo.+

  • Kutoka 14:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Farao alipokaribia, wana wa Israeli wakaanza kuinua macho yao, na tazama, Wamisri walikuwa wakipiga mwendo wakiwafuatilia; na wana wa Israeli wakaogopa sana na kuanza kumlilia Yehova.+

  • Zaburi 50:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na uniite katika siku ya taabu.+

      Nitakuokoa, nawe utanitukuza.”+

  • Zaburi 91:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Ataniitia, nami nitamjibu.+

      Nitakuwa pamoja naye katika taabu.+

      Nitamwokoa na kumtukuza.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki