Mambo ya Walawi 10:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ndipo moto ukatoka mbele za Yehova na kuwateketeza,+ hivi kwamba wakafa mbele za Yehova.+ 2 Samweli 6:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Ndipo hasira+ ya Yehova ikamwakia Uza, na Mungu wa kweli akampiga+ hapo kwa sababu ya hilo tendo lisilo la heshima kwa Mungu, naye akafa hapo karibu na lile sanduku la Mungu wa kweli.+
7 Ndipo hasira+ ya Yehova ikamwakia Uza, na Mungu wa kweli akampiga+ hapo kwa sababu ya hilo tendo lisilo la heshima kwa Mungu, naye akafa hapo karibu na lile sanduku la Mungu wa kweli.+