Nehemia 9:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Nawe ukashuka chini kwenye Mlima Sinai+ na kusema nao kutoka mbinguni+ na kuwapa maamuzi ya hukumu+ yaliyo manyoofu na sheria za kweli,+ masharti+ na amri+ nzuri. Zaburi 81:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Katika taabu uliita, nami nikakuokoa;+Nikaanza kukujibu katika mahali palipofichika pa mngurumo.+Nikakuchunguza kando ya maji ya Meriba.+ Sela.
13 Nawe ukashuka chini kwenye Mlima Sinai+ na kusema nao kutoka mbinguni+ na kuwapa maamuzi ya hukumu+ yaliyo manyoofu na sheria za kweli,+ masharti+ na amri+ nzuri.
7 Katika taabu uliita, nami nikakuokoa;+Nikaanza kukujibu katika mahali palipofichika pa mngurumo.+Nikakuchunguza kando ya maji ya Meriba.+ Sela.