Mathayo 12:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Yeye akawaambia: “Ni nani kati yenu aliye na kondoo mmoja na, kondoo huyo akianguka ndani ya shimo+ siku ya sabato, hatamshika na kumtoa nje?+ 1 Wakorintho 10:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kila mmoja na aendelee kutafuta, si faida yake mwenyewe,+ bali ile ya yule mtu mwingine.+
11 Yeye akawaambia: “Ni nani kati yenu aliye na kondoo mmoja na, kondoo huyo akianguka ndani ya shimo+ siku ya sabato, hatamshika na kumtoa nje?+