Mathayo 3:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Lakini Yohana huyu mavazi yake yalikuwa ya manyoya ya ngamia+ na alikuwa na mshipi wa ngozi+ kiunoni mwake; nacho chakula chake kilikuwa nzige+ na asali ya mwituni.+ Marko 1:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Basi Yohana alikuwa amevaa manyoya ya ngamia na mshipi wa ngozi kiunoni mwake,+ na alikuwa akila nzige+ na asali ya mwituni.+
4 Lakini Yohana huyu mavazi yake yalikuwa ya manyoya ya ngamia+ na alikuwa na mshipi wa ngozi+ kiunoni mwake; nacho chakula chake kilikuwa nzige+ na asali ya mwituni.+
6 Basi Yohana alikuwa amevaa manyoya ya ngamia na mshipi wa ngozi kiunoni mwake,+ na alikuwa akila nzige+ na asali ya mwituni.+