19 Ndipo Tamari akatia majivu+ juu ya kichwa chake, akairarua ile kanzu yenye mistari-mistari aliyokuwa amevaa; naye akaweka mikono yake juu ya kichwa chake,+ akatembea akienda zake, akitembea huku akilia.
5 Na wakati wa toleo la nafaka+ la jioni nikasimama kutoka kwenye fedheha yangu, vazi langu na koti langu likiwa limepasuliwa, kisha nikainama nikapiga magoti+ na kumnyooshea mikono Yehova Mungu wangu.+