Mambo ya Walawi 9:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Lakini kwa wana wa Israeli utasema, na kuwaambia, ‘Jichukulieni mbuzi-dume+ kwa ajili ya toleo la dhambi na ndama na mwana-kondoo dume,+ kila mmoja wao mwenye umri wa mwaka mmoja, ambao hawana kasoro, kwa ajili ya toleo la kuteketezwa, Mambo ya Walawi 22:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 ili kupata kibali+ kwa ajili yenu, lazima awe hana kasoro,+ wa kiume kutoka katikati ya mifugo, katikati ya wana-kondoo dume au katikati ya mbuzi.
3 Lakini kwa wana wa Israeli utasema, na kuwaambia, ‘Jichukulieni mbuzi-dume+ kwa ajili ya toleo la dhambi na ndama na mwana-kondoo dume,+ kila mmoja wao mwenye umri wa mwaka mmoja, ambao hawana kasoro, kwa ajili ya toleo la kuteketezwa,
19 ili kupata kibali+ kwa ajili yenu, lazima awe hana kasoro,+ wa kiume kutoka katikati ya mifugo, katikati ya wana-kondoo dume au katikati ya mbuzi.