Hesabu 1:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 wa wana wa Yosefu:+ wa Efraimu,+ Elishama mwana wa Amihudi; wa Manase,+ Gamalieli mwana wa Pedazuri; Hesabu 7:54 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 54 Katika siku ya nane kulikuwa na mkuu wa wana wa Manase, Gamalieli+ mwana wa Pedazuri. Hesabu 10:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Na juu ya jeshi la kabila la wana wa Manase+ kulikuwa na Gamalieli+ mwana wa Pedazuri.
10 wa wana wa Yosefu:+ wa Efraimu,+ Elishama mwana wa Amihudi; wa Manase,+ Gamalieli mwana wa Pedazuri;