Mwanzo 41:52 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 52 Naye yule wa pili akamwita jina lake Efraimu,+ kwa sababu, kama alivyosema, “Mungu ameniwezesha kuwa na uzao katika nchi ya taabu yangu.”+ Mwanzo 48:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Naye akaendelea kuwabariki siku hiyo,+ akisema: “Kupitia kwako Israeli na atangaze baraka tena na tena, akisema,‘Mungu na akufanye wewe uwe kama Efraimu na kama Manase.’”+ Hivyo akaendelea kumweka Efraimu mbele ya Manase.+
52 Naye yule wa pili akamwita jina lake Efraimu,+ kwa sababu, kama alivyosema, “Mungu ameniwezesha kuwa na uzao katika nchi ya taabu yangu.”+
20 Naye akaendelea kuwabariki siku hiyo,+ akisema: “Kupitia kwako Israeli na atangaze baraka tena na tena, akisema,‘Mungu na akufanye wewe uwe kama Efraimu na kama Manase.’”+ Hivyo akaendelea kumweka Efraimu mbele ya Manase.+