Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 30:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Basi akamwita jina lake Yosefu,+ akisema: “Yehova ananiongezea mwana mwingine.”

  • Mwanzo 49:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 “Yosefu ni chipukizi la mti unaozaa matunda,+ chipukizi la mti unaozaa matunda kando ya chemchemi,+ ambao husukuma mbele matawi yake juu ya ukuta.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 5:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Na wana wa Rubeni+ mzaliwa wa kwanza wa Israeli—kwa maana yeye alikuwa ndiye mzaliwa wa kwanza;+ lakini kwa kuwa alikitia unajisi kitanda cha baba yake,+ haki yake akiwa mzaliwa wa kwanza ilipewa wana wa Yosefu+ mwana wa Israeli, hivi kwamba yeye hakuandikishwa kiukoo kwa ajili ya haki ya mzaliwa wa kwanza.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki