Hesabu 13:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Basi wakapanda na kuipeleleza nchi kutoka katika nyika ya Zini+ mpaka Rehobu+ mpaka mahali pa kuingilia pa Hamathi.+ Hesabu 33:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Baada ya hapo wakaondoka Esion-geberi, wakapiga kambi katika nyika ya Zini,+ yaani, Kadeshi.
21 Basi wakapanda na kuipeleleza nchi kutoka katika nyika ya Zini+ mpaka Rehobu+ mpaka mahali pa kuingilia pa Hamathi.+