25 Huku Waamaleki na Wakanaani+ wakiwa wanakaa katika nchi tambarare ya chini, geukeni kesho na kuondoka ili mpige mwendo kuelekea nyikani kupitia njia ya Bahari Nyekundu.”+
20Nao wana wa Israeli, kusanyiko lote, wakaingia katika nyika ya Zini+ katika mwezi wa kwanza, nao watu wakakaa Kadeshi.+ Hapo ndipo Miriamu+ alipofia na hapo ndipo alipozikwa.
14 kwa sababu ninyi mliasi agizo langu katika nyika ya Zini kusanyiko lilipogombana,+ juu ya kunitakasa+ kando ya maji mbele ya macho yao. Hayo ndiyo maji ya Meriba+ huko Kadeshi+ katika nyika ya Zini.”+
51 Kwa sababu ninyi mlitenda isivyofaa kunielekea mimi+ katikati ya wana wa Israeli kwenye maji ya Meriba+ ya Kadeshi katika nyika ya Zini; kwa sababu ninyi hamkunitakasa mimi katikati ya wana wa Israeli.+
15Na kura+ ya kabila la wana wa Yuda kulingana na familia zao ikawa hadi kwenye mpaka wa Edomu,+ nyika ya Zini,+ hadi Negebu+ mwisho wake wa upande wa kusini.