Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 13:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Basi wakapanda na kuipeleleza nchi kutoka katika nyika ya Zini+ mpaka Rehobu+ mpaka mahali pa kuingilia pa Hamathi.+

  • Hesabu 14:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Huku Waamaleki na Wakanaani+ wakiwa wanakaa katika nchi tambarare ya chini, geukeni kesho na kuondoka ili mpige mwendo kuelekea nyikani kupitia njia ya Bahari Nyekundu.”+

  • Hesabu 20:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Nao wana wa Israeli, kusanyiko lote, wakaingia katika nyika ya Zini+ katika mwezi wa kwanza, nao watu wakakaa Kadeshi.+ Hapo ndipo Miriamu+ alipofia na hapo ndipo alipozikwa.

  • Hesabu 27:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 kwa sababu ninyi mliasi agizo langu katika nyika ya Zini kusanyiko lilipogombana,+ juu ya kunitakasa+ kando ya maji mbele ya macho yao. Hayo ndiyo maji ya Meriba+ huko Kadeshi+ katika nyika ya Zini.”+

  • Kumbukumbu la Torati 32:51
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 51 Kwa sababu ninyi mlitenda isivyofaa kunielekea mimi+ katikati ya wana wa Israeli kwenye maji ya Meriba+ ya Kadeshi katika nyika ya Zini; kwa sababu ninyi hamkunitakasa mimi katikati ya wana wa Israeli.+

  • Yoshua 15:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na kura+ ya kabila la wana wa Yuda kulingana na familia zao ikawa hadi kwenye mpaka wa Edomu,+ nyika ya Zini,+ hadi Negebu+ mwisho wake wa upande wa kusini.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki