20 Naye Miriamu nabii, dada ya Haruni,+ akachukua tari mkononi mwake;+ na wanawake wote wakaanza kutoka pamoja naye wakiwa na matari na kucheza dansi.+
59 Nalo jina la mke wa Amramu lilikuwa Yokebedi,+ binti ya Lawi, ambaye mke wake alimzalia Lawi katika Misri. Baada ya muda akamzalia Amramu Haruni na Musa na Miriamu dada yao.+