Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 13:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Basi wakatembea na kuja kwa Musa na Haruni na kusanyiko lote la wana wa Israeli katika nyika ya Parani, huko Kadeshi.+ Nao wakaleta neno kwao na kwa kusanyiko lote na kuwaonyesha matunda ya nchi.

  • Hesabu 20:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Na wana wa Israeli, kusanyiko lote, wakaondoka Kadeshi+ nao wakafika Mlima Hori.+

  • Kumbukumbu la Torati 1:46
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 46 Basi mkaendelea kukaa kule Kadeshi siku nyingi, siku nyingi kadiri mlivyokaa huko.+

  • Kumbukumbu la Torati 2:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Na siku tulizotembea kutoka Kadesh-barnea mpaka tulipovuka bonde la mto la Zeredi zilikuwa miaka 38, mpaka kizazi chote cha wanaume wa vita kilipokuwa kimefikia mwisho wake kutoka katika kambi, kama vile Yehova alivyokuwa amewaapia.+

  • Waamuzi 11:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kwa maana Israeli walipopanda kutoka Misri, walitembea kupitia nyika mpaka Bahari Nyekundu,+ wakaja Kadeshi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki