15 “Waandikishe wana wa Lawi kulingana na nyumba ya baba zao kulingana na familia zao. Kila mwanamume kuanzia umri wa mwezi mmoja na zaidi utamwandikisha.”+
62 Nao walioandikishwa kati yao wakawa 23,000, wanaume wote kuanzia umri wa mwezi mmoja na zaidi.+ Kwa maana hawakuandikishwa katikati ya wana wa Israeli,+ kwa sababu hawakupaswa kupewa urithi wowote katikati ya wana wa Israeli.+