Hesabu 2:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Lakini Walawi hawakuandikishwa+ katikati ya wana wa Israeli, kama vile Yehova alivyokuwa amemwamuru Musa. Hesabu 26:64 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 64 Lakini kati ya hao hakukuwa na mtu kati ya wale walioandikishwa na Musa na Haruni kuhani wakati ambapo waliwaandikisha wana wa Israeli katika nyika ya Sinai.+
33 Lakini Walawi hawakuandikishwa+ katikati ya wana wa Israeli, kama vile Yehova alivyokuwa amemwamuru Musa.
64 Lakini kati ya hao hakukuwa na mtu kati ya wale walioandikishwa na Musa na Haruni kuhani wakati ambapo waliwaandikisha wana wa Israeli katika nyika ya Sinai.+