Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 29:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Naye akapata mimba tena, akazaa mwana kisha akasema: “Sasa wakati huu mume wangu atajiunga nami, kwa sababu nimemzalia wana watatu.” Kwa hiyo akaitwa jina lake Lawi.+

  • Mwanzo 46:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na wana wa Lawi+ walikuwa Gershoni,+ Kohathi+ na Merari.+

  • Hesabu 3:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Mimi nami, tazama! nawachukua Walawi kutoka katikati ya wana wa Israeli badala ya wazaliwa wa kwanza+ wote wanaofungua tumbo la uzazi la wana wa Israeli; nao Walawi watakuwa wangu.

  • 1 Mambo ya Nyakati 6:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Wana wa Lawi+ walikuwa Gershoni,+ Kohathi+ na Merari.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki