28“Na wewe, mlete karibu nawe Haruni ndugu yako na wanawe pamoja naye kutoka katikati ya wana wa Israeli ili awe kuhani kwangu,+ Haruni,+ Nadabu na Abihu,+ Eleazari na Ithamari,+ wana wa Haruni.
2 “Mchukue Haruni na wanawe pamoja naye+ na yale mavazi+ na yale mafuta yanayotumiwa kutia mafuta+ na yule ng’ombe-dume wa toleo la dhambi+ na wale kondoo-dume wawili na kile kikapu cha keki zisizo na chachu,+