4 Ndipo kura ikatoka kwa ajili ya familia za Wakohathi,+ na wana wa Haruni kuhani, waliokuwa kati ya Walawi, wakawa na majiji kumi na matatu, yaliyochukuliwa kwa kura kutoka katika kabila la Yuda+ na kutoka katika kabila la Wasimeoni+ na kutoka katika kabila la Benyamini.+