27 Na za Kohathi zilikuwa familia ya Waamramu na familia ya Waishari na familia ya Wahebroni na familia ya Wauzieli. Hizo ndizo zilizokuwa familia za Wakohathi.+
31 Na wajibu+ wao ulikuwa ni lile Sanduku+ na meza+ na kinara cha taa+ na madhabahu+ na vyombo+ vya mahali patakatifu ambavyo wangevitumia kuhudumu na kisitiri,+ na utumishi wake wote.