Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 12:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na siku ya kwanza kutakuwa na mkusanyiko mtakatifu kwa ajili yenu, na siku ya saba mkusanyiko mtakatifu.+ Hakuna kazi yoyote itakayofanywa katika siku hizo.+ Ila tu kile ambacho kila nafsi inahitaji kula, hicho tu kinaweza kufanywa kwa ajili yenu.+

  • Kutoka 13:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Siku saba utakula keki zisizo na chachu,+ na katika siku ya saba ni sherehe kwa Yehova.+

  • Mambo ya Walawi 23:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Lakini mtatoa toleo linalotolewa kwa Yehova kwa njia ya moto kwa siku saba. Katika siku ya saba kutakuwa na mkusanyiko mtakatifu. Hamtafanya kazi ngumu ya aina yoyote.’”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki