13 Nanyi mtatoa toleo la kuteketezwa,+ toleo linalotolewa kwa njia ya moto, lenye harufu ya kumtuliza Yehova, ng’ombe-dume wachanga kumi na watatu, kondoo-dume wawili, wana-kondoo dume kumi na wanne kila mmoja wao akiwa na umri wa mwaka mmoja. Watakuwa wasio na kasoro.+