Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 35:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Lakini mimi, walipokuwa wagonjwa, mavazi yangu yalikuwa ni magunia,+

      Nikaitesa nafsi yangu kwa kufunga,+

      Nayo sala yangu mwenyewe ikawa ikirudi kifuani pangu.+

  • Isaya 58:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Je, kufunga ambako ninachagua kunapasa kuwa hivi, kama siku ya mtu wa udongo kuitesa nafsi yake?+ Kwa kuinamisha kichwa chake kama kitete, na kwamba atandike nguo ya gunia na majivu kuwa kitanda chake?+ Je, hilo ndilo unaloliita kuwa ni kufunga na siku inayokubalika kwa Yehova?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki