15 Kwanza Yehova atakapowapa ndugu zenu pumziko kama vile alivyowapa ninyi, nao pia wawe wameirithi nchi ambayo Yehova Mungu wenu anawapa,+ ndipo mtakaporudi katika nchi ya urithi wenu na kuimiliki,+ nchi ile ambayo Musa mtumishi wa Yehova amewapa ng’ambo ya Yordani upande wa mashariki.’”+