17 Lakini sisi wenyewe tutaenda tayari tukiwa tumejipanga kivita+ mbele ya wana wa Israeli mpaka tutakapokuwa tumewafikisha mahali pao, nao watoto wetu wadogo watakaa katika majiji yenye ngome mbali na uso wa wakaaji wa nchi.
22 na nchi iwe imetiishwa mbele za Yehova,+ kisha mrudi baadaye,+ ninyi pia mtajionyesha kuwa mko huru na hatia juu ya Yehova na juu ya Israeli; nayo nchi hii itakuwa miliki yenu mbele za Yehova.+
20 mpaka Yehova atakapowapa ndugu zenu pumziko, kama ninyi, nao pia wawe wamemiliki nchi ambayo Yehova Mungu wenu anawapa ng’ambo ya Yordani; ndipo mtakaporudi, kila mmoja kwenda kwenye miliki yake ambayo nimewapa ninyi.’+