20 mpaka Yehova atakapowapa ndugu zenu pumziko, kama ninyi, nao pia wawe wamemiliki nchi ambayo Yehova Mungu wenu anawapa ng’ambo ya Yordani; ndipo mtakaporudi, kila mmoja kwenda kwenye miliki yake ambayo nimewapa ninyi.’+
23 Basi Yoshua akaichukua nchi yote, kulingana na yote ambayo Yehova alikuwa amemwahidi Musa,+ kisha Yoshua akawapa Israeli iwe urithi wao kulingana na mafungu yao, kulingana na makabila yao.+ Na nchi haikusumbuliwa na vita tena.+
18Ndipo kusanyiko lote la wana wa Israeli likakutanika Shilo,+ nao wakaweka huko lile hema la mkutano,+ kwa maana sasa nchi ilikuwa imetiishwa mbele yao.+