Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 3:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 mpaka Yehova atakapowapa ndugu zenu pumziko, kama ninyi, nao pia wawe wamemiliki nchi ambayo Yehova Mungu wenu anawapa ng’ambo ya Yordani; ndipo mtakaporudi, kila mmoja kwenda kwenye miliki yake ambayo nimewapa ninyi.’+

  • Yoshua 11:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Basi Yoshua akaichukua nchi yote, kulingana na yote ambayo Yehova alikuwa amemwahidi Musa,+ kisha Yoshua akawapa Israeli iwe urithi wao kulingana na mafungu yao, kulingana na makabila yao.+ Na nchi haikusumbuliwa na vita tena.+

  • Yoshua 18:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Ndipo kusanyiko lote la wana wa Israeli likakutanika Shilo,+ nao wakaweka huko lile hema la mkutano,+ kwa maana sasa nchi ilikuwa imetiishwa mbele yao.+

  • Zaburi 44:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Wewe mwenyewe kwa mkono wako uliwafukuzia mbali mataifa,+

      Nawe ukawapanda hao badala yao.+

      Ukavunja vikundi vya mataifa na kuwafukuza.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki