Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 1:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kwanza Yehova atakapowapa ndugu zenu pumziko kama vile alivyowapa ninyi, nao pia wawe wameirithi nchi ambayo Yehova Mungu wenu anawapa,+ ndipo mtakaporudi katika nchi ya urithi wenu na kuimiliki,+ nchi ile ambayo Musa mtumishi wa Yehova amewapa ng’ambo ya Yordani upande wa mashariki.’”+

  • Yoshua 22:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Na sasa Yehova Mungu wenu amewapa ndugu zenu pumziko, kama vile alivyowaahidi.+ Basi sasa rudini, mwende zenu mahemani mwenu katika nchi ya miliki yenu, ambayo Musa mtumishi wa Yehova aliwapa ng’ambo ile nyingine ya Yordani.+

  • Yoshua 22:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Naye akawaambia: “Rudini katika mahema yenu mkiwa na utajiri mwingi pamoja na mifugo mingi sana, pamoja na fedha na dhahabu na shaba na chuma na mavazi kwa wingi sana.+ Chukueni fungu lenu la nyara+ za adui zenu pamoja na ndugu zenu.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki