15 Kwanza Yehova atakapowapa ndugu zenu pumziko kama vile alivyowapa ninyi, nao pia wawe wameirithi nchi ambayo Yehova Mungu wenu anawapa,+ ndipo mtakaporudi katika nchi ya urithi wenu na kuimiliki,+ nchi ile ambayo Musa mtumishi wa Yehova amewapa ng’ambo ya Yordani upande wa mashariki.’”+
33 kutoka Yordani kuelekea mashariki, nchi yote ya Gileadi,+ Wagadi+ na Warubeni+ na Wamanase,+ kutoka Aroeri,+ lililoko kando ya bonde la mto la Arnoni, naam, Gileadi na Bashani.+