Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 18:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Basi Yethro, baba-mkwe wa Musa, pamoja na wanawe na mke wake wakamjia Musa huko nyikani ambako alikuwa amepiga kambi, kwenye mlima wa Mungu wa kweli.+

  • Kutoka 19:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Katika mwezi wa tatu baada ya wana wa Israeli kutoka katika nchi ya Misri,+ siku hiyo hiyo, wakaingia katika nyika ya Sinai.+

  • Kutoka 19:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Nao wakaanza safari kutoka Refidimu,+ wakaingia katika nyika ya Sinai, wakapiga kambi nyikani;+ nao Israeli wakapiga kambi hapo mbele ya mlima.+

  • Hesabu 1:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 1 Naye Yehova akasema na Musa katika nyika ya Sinai,+ kwenye hema la mkutano,+ siku ya kwanza ya mwezi wa pili wa mwaka wa pili wa kutoka kwao nchini Misri,+ naye akamwambia:

  • Hesabu 3:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Hata hivyo, Nadabu na Abihu walikufa mbele za Yehova walipotoa moto haramu+ mbele za Yehova katika nyika ya Sinai; nao hawakuwa na wana wowote. Lakini Eleazari+ na Ithamari+ waliendelea kutumikia wakiwa makuhani pamoja na Haruni baba yao.

  • Hesabu 9:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Na Yehova akasema na Musa katika nyika ya Sinai katika mwaka wa pili baada ya kuondoka kwao katika nchi ya Misri, katika mwezi wa kwanza,+ na kumwambia:

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki