17 Musa alipokuwa akiwatuma kuipeleleza nchi ya Kanaani, aliwaambia: “Pandeni hapa na kuingia Negebu,+ nanyi mtapanda na kuingia katika eneo lenye milima.+
40 Na Yoshua akaanza kuipiga nchi yote ya eneo lenye milima+ na Negebu+ na Shefela+ na miteremko+ na wafalme wao wote. Hakuacha mtu yeyote aokoke,+ akaangamiza+ kila kitu kilichopumua, kama vile Yehova Mungu wa Israeli alivyokuwa ameamuru.+