Hesabu 13:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Basi wakatembea na kuja kwa Musa na Haruni na kusanyiko lote la wana wa Israeli katika nyika ya Parani, huko Kadeshi.+ Nao wakaleta neno kwao na kwa kusanyiko lote na kuwaonyesha matunda ya nchi. Hesabu 32:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Hivyo ndivyo baba zenu walivyofanya+ nilipowatuma kutoka Kadesh-barnea+ wakaione nchi.
26 Basi wakatembea na kuja kwa Musa na Haruni na kusanyiko lote la wana wa Israeli katika nyika ya Parani, huko Kadeshi.+ Nao wakaleta neno kwao na kwa kusanyiko lote na kuwaonyesha matunda ya nchi.