8 Nami ninashuka ili kuwakomboa kutoka katika mkono wa Wamisri+ na kuwatoa katika nchi hiyo mpaka kwenye nchi nzuri na kubwa, nchi inayotiririka maziwa na asali,+ kwa Wakanaani na Wahiti na Waamori na Waperizi na Wahivi na Wayebusi.+
23 Kwa maana malaika wangu ataenda mbele yako naye kwa kweli atakuongoza kwa Waamori na Wahiti na Waperizi na Wakanaani, na Wahivi na Wayebusi, nami hakika nitawafutilia hao mbali.+
2 “Waamuru wana wa Israeli, nawe utawaambia, ‘Mnaingia katika nchi ya Kanaani.+ Hiyo ndiyo nchi itakayowaangukia kwa urithi,+ nchi ya Kanaani kulingana na mipaka yake.+