Mwanzo 30:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kisha Lea akasema: “Mungu amenipa mshahara wa mtu wa kukodiwa, kwa sababu nimempa mume wangu mjakazi wangu.” Kwa hiyo akamwita jina lake Isakari.+ Mwanzo 46:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na wana wa Isakari+ walikuwa Tola+ na Puva+ na Iobu na Shimroni.+ Hesabu 2:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Na wale wanaopiga kambi kando yake watakuwa kabila la Isakari,+ na mkuu wa wana wa Isakari ni Nethaneli+ mwana wa Zuari. Hesabu 26:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Wana wa Isakari+ kulingana na familia zao walikuwa: Wa Tola+ familia ya Watola; wa Puva familia ya Wapuni;
18 Kisha Lea akasema: “Mungu amenipa mshahara wa mtu wa kukodiwa, kwa sababu nimempa mume wangu mjakazi wangu.” Kwa hiyo akamwita jina lake Isakari.+
5 Na wale wanaopiga kambi kando yake watakuwa kabila la Isakari,+ na mkuu wa wana wa Isakari ni Nethaneli+ mwana wa Zuari.
23 Wana wa Isakari+ kulingana na familia zao walikuwa: Wa Tola+ familia ya Watola; wa Puva familia ya Wapuni;