Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 30:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kisha Lea akasema: “Mungu amenipa mshahara wa mtu wa kukodiwa, kwa sababu nimempa mume wangu mjakazi wangu.” Kwa hiyo akamwita jina lake Isakari.+

  • Mwanzo 46:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na wana wa Isakari+ walikuwa Tola+ na Puva+ na Iobu na Shimroni.+

  • Hesabu 2:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Na wale wanaopiga kambi kando yake watakuwa kabila la Isakari,+ na mkuu wa wana wa Isakari ni Nethaneli+ mwana wa Zuari.

  • Hesabu 26:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Wana wa Isakari+ kulingana na familia zao walikuwa: Wa Tola+ familia ya Watola; wa Puva familia ya Wapuni;

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki