Hesabu 2:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Na kando yake kutakuwa na kabila la Manase,+ na mkuu wa wana wa Manase ni Gamalieli+ mwana wa Pedazuri. Hesabu 26:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Wana wa Manase+ walikuwa: Wa Makiri+ familia ya Wamakiri. Naye Makiri akamzaa Gileadi.+ Wa Gileadi familia ya Wagileadi.
20 Na kando yake kutakuwa na kabila la Manase,+ na mkuu wa wana wa Manase ni Gamalieli+ mwana wa Pedazuri.
29 Wana wa Manase+ walikuwa: Wa Makiri+ familia ya Wamakiri. Naye Makiri akamzaa Gileadi.+ Wa Gileadi familia ya Wagileadi.