3 Kisha Musa akaja na kuwasimulia watu maneno yote ya Yehova na maamuzi yote ya hukumu,+ nao watu wote wakajibu kwa sauti moja na kusema: “Maneno yote ambayo Yehova amesema tuko tayari kuyafanya.”+
19 Na wakati ambapo wingu hilo lilirefusha kukaa kwake juu ya maskani hiyo siku nyingi, wana wa Israeli pia walishika wajibu wao kwa Yehova kwamba wasiondoke.+