Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 30:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Ndipo Raheli akasema: “Mungu ametenda kama mwamuzi+ wangu na pia ameisikiliza sauti yangu, akanipa mwana.” Ndiyo sababu alimwita jina lake Dani.+

  • Mwanzo 46:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Na wana wa Dani+ walikuwa Hushimu.+

  • Hesabu 2:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 “Mgawanyo wa makabila matatu wa kambi ya Dani utakuwa kuelekea kaskazini kwa majeshi yao, na mkuu wa wana wa Dani ni Ahiezeri+ mwana wa Amishadai.

  • Hesabu 10:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Na ule mgawanyo wa makabila matatu wa kambi ya wana wa Dani+ ukaondoka ukifanyiza kikosi cha nyuma cha ulinzi+ kwa ajili ya kambi zote, kwa majeshi yao, naye Ahiezeri+ mwana wa Amishadai alikuwa juu ya jeshi lake.

  • Hesabu 26:42
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 42 Hawa ndio waliokuwa wana wa Dani+ kulingana na familia zao: Wa Shuhamu familia ya Washuhamu. Hizo ndizo zilizokuwa familia za Dani+ kulingana na familia zao.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki