Kutoka 16:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Basi Yehova akamwambia Musa: “Ninyi watu mtaendelea kukataa kushika amri zangu na sheria zangu mpaka wakati gani?+ Hesabu 14:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Mwishowe Yehova akamwambia Musa: “Watu hawa wataendelea kunitendea bila heshima+ mpaka wakati gani,+ nao watakosa kuniamini mpaka wakati gani ijapokuwa ishara zote ambazo nilifanya katikati yao?+
28 Basi Yehova akamwambia Musa: “Ninyi watu mtaendelea kukataa kushika amri zangu na sheria zangu mpaka wakati gani?+
11 Mwishowe Yehova akamwambia Musa: “Watu hawa wataendelea kunitendea bila heshima+ mpaka wakati gani,+ nao watakosa kuniamini mpaka wakati gani ijapokuwa ishara zote ambazo nilifanya katikati yao?+