1 Wakorintho 10:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Wala tusiwe wanung’unikaji, kama baadhi yao walivyonung’unika,+ na kuangamizwa na mwangamizaji.+ Yuda 5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Ninataka kuwakumbusha ninyi, ingawa tayari mnajua mambo yote+ haya kwamba Yehova, ijapokuwa aliwaokoa watu kutoka nchi ya Misri,+ baadaye aliwaangamiza wale ambao hawakuonyesha imani.+
5 Ninataka kuwakumbusha ninyi, ingawa tayari mnajua mambo yote+ haya kwamba Yehova, ijapokuwa aliwaokoa watu kutoka nchi ya Misri,+ baadaye aliwaangamiza wale ambao hawakuonyesha imani.+