10Baadaye Nadabu na Abihu,+ wana wa Haruni, wakachukua na kuleta kila mmoja wao chetezo+ chake na kutia moto ndani yake na kutia uvumba+ juu yake, nao wakaanza kumtolea Yehova moto haramu,+ ambao hakuwa amewaamuru.
38 naam, vyetezo vya wanaume hao waliozitendea dhambi nafsi zao wenyewe.+ Nao watavifanya viwe mabamba membamba ya madini ya kutanda madhabahu,+ kwa sababu walivitoa mbele za Yehova, hivi kwamba vikawa vitakatifu; navyo vitakuwa ishara kwa wana wa Israeli.’”+