21 Jiangalie kwa sababu yake na kuitii sauti yake. Usijiendeshe kwa kumwasi yeye, kwa maana hatawasamehe kosa lenu;+ kwa sababu jina langu limo ndani yake.
8 Kisha akamfuata yule mwanamume wa Israeli ndani ya hema lenye kuba na kuwachoma wote wawili, mwanamume huyo wa Israeli na mwanamke huyo kupitia sehemu zake za uzazi. Ndipo tauni ikakomeshwa kutoka kwa wana wa Israeli.+