Hesabu 1:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 wa wana wa Yosefu:+ wa Efraimu,+ Elishama mwana wa Amihudi; wa Manase,+ Gamalieli mwana wa Pedazuri; Hesabu 7:48 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 48 Katika siku ya saba kulikuwa na mkuu wa wana wa Efraimu, Elishama+ mwana wa Amihudi. Hesabu 10:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Na ule mgawanyo wa makabila matatu wa kambi ya wana wa Efraimu+ ukaondoka, kwa majeshi yao, naye Elishama+ mwana wa Amihudi alikuwa juu ya jeshi lake.
10 wa wana wa Yosefu:+ wa Efraimu,+ Elishama mwana wa Amihudi; wa Manase,+ Gamalieli mwana wa Pedazuri;
22 Na ule mgawanyo wa makabila matatu wa kambi ya wana wa Efraimu+ ukaondoka, kwa majeshi yao, naye Elishama+ mwana wa Amihudi alikuwa juu ya jeshi lake.